TAFUTA YALIYOMO

Tuesday, May 29, 2012

VILLAS BOAS KUCHUKUA MIKOBA YA UKOCHA TOTTENHAM HOTSPURS

ANDRE VILLAS BOAS
Kocha aliyetimuliwa Chelsea kabla ya kumalizika kwa msimu uliopita wa ligi VILLAS BOAS anatarajiwa kuchukua mikoba ya ukocha ya timu ya TOTTENHAM HOTPURS baada ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo Harry Redknapp kuwa na mifarakao na viongozi wa juu wa timu hiyo. Jose Mourinho inasemekana ni mmoja wa wadau wa soka ambao wanataka kufanikisha kukabidhiwa kwa timu hiyo VILLAS BOAS kwa kumshauri Spurs’ Chairman Daniel Levy

No comments:

Post a Comment