TAFUTA YALIYOMO

Wednesday, May 16, 2012

MARY LUCAS AJARIBU TENA BAADA YA TENA


MARY LUCAS

Aliyekuwa mshiriki wa BSS kwa season 2 sasa anakwenda kujaribu her lucky  kwenye mashindano ya TUSKER PROJECT FAME. The step imekuja baada ya kupita katika usaili uliofanywa hivi karibuni Dar es Salaam na kumfanya aungane na washiriki wengine wawili on their way to NAIROBI kutetea taji ambalo linashikiliwa na  PETER MSECHU as one of the last year winners

PETER MSECHU





No comments:

Post a Comment