TAFUTA YALIYOMO

Thursday, May 31, 2012

BAADA YA MLIPUKO NAIROBI, MARYA ANAENDELEA VIZURI

MARYA
Talented singer Marya kutoka kenya ambaye alikubwa na mshike mshike wa katika mlipuko uliotokea hivi karibuni Nairobi amebainisha kuwa sasa anaendelea vizuri baada ya kuwa disturbed na mlipuko ule uloharibu gari lake pamoja na kumjeruhi vibaya rafiki yake.Bi shosti huyo who was doing some shoping Ameeleza kuwa anawatakia wote waliojeruhiwa afya njema na kuwaomba wengine wote waungane naye katika goo wishes hizo
ENEO LILILOLIPUKA NAIROBI


No comments:

Post a Comment