TAFUTA YALIYOMO

Thursday, May 24, 2012

DROGBA ATOA PAUNDI MIL.3 KUJENGA HOSPITALI YA BURE ABIDJAN

Mwanasoka wa kimataifa Didier Drogba ameingiza kiasi cha paundi millioni tatu kutokana na matangazo ya PEPSI na kuamua kutumia pesa yote kujenga HOSIPITALI YA BURE katika mji wa ABIDJAN nchini mwake Ivory Caost
                   
                            DROGBA KATIKA MOJA YA MATANGAZO YA PEPSI
ABIDJAN

No comments:

Post a Comment