TAFUTA YALIYOMO

Monday, May 21, 2012

LIBERIA NJE BBA

LUKE

YADEL

Washiriki Yadel and Luke kutoka LIBERIA wamekuwa washiriki wa pili kuondoka katika Jumba la BBA kwa mujibu wa Taratibu huku wakiwa pair ya tatu kuondoka baada ya kujitoa kwa washiriki wa NIGERIA katika mashindano hayo. STAY TUNED

Mshiriki mwingine aliyetoka pamoja na pair hiyo ni Dalphin wa Sierra Leone
DALPHIN

No comments:

Post a Comment